Ufafanuzi wa Biblia katika Mazingira na Utamaduni wa Kiafrika

From: KSh27.99

Kitabu hiki ni kitabu cha kipekee kuwahi kuchapishwa – kinahusu ufafanuzi wa Biblia katika juzuu moja lililotolewa kwa mara ya kwanza hapa Afrika na wanatheolojia Waafrika ili kuyakidhi mahitaji ya wachungaji wa Kiafrika, wanafunzi na viongozi wa kanisa. Kwa kufasiri na kuzingatia matumizi ya Biblia katika miktadha halisi ya utamaduni wa Kiafrika ulivyo sasa; kitabu hiki kinayaelezea Maandiko Matakatifu vizuri sana na kwa undani kwa njia bora zinazoafiki bara la Afrika kwa umuhimu wake. Kitabu hiki kinatoa ufasiri wa sehemu kwa sehemu ambao unaambatana na muktadha wa Kiafrika unaoeleweka kwa urahisi.

Clear

Description


Ufafanuzi wa Biblia katika Mazingira na Utamaduni wa Kiafrika

Tokunboh Adeyemo, Mhariri Mkuu

Kitabu hiki ni kitabu cha kipekee kuwahi kuchapishwa – kinahusu ufafanuzi wa Biblia katika juzuu moja lililotolewa kwa mara ya kwanza hapa Afrika na wanatheolojia Waafrika ili kuyakidhi mahitaji ya wachungaji wa Kiafrika, wanafunzi na viongozi wa kanisa. Kwa kufasiri na kuzingatia matumizi ya Biblia katika miktadha halisi ya utamaduni wa Kiafrika ulivyo sasa; kitabu hiki kinayaelezea Maandiko Matakatifu vizuri sana na kwa undani kwa njia bora zinazoafiki bara la Afrika kwa umuhimu wake. Kitabu hiki kinatoa ufasiri wa sehemu kwa sehemu ambao unaambatana na muktadha wa Kiafrika unaoeleweka kwa urahisi.

Product Code: REF5126
ISBN 978 9966 805 12 6
Hardcover
Trim Size: 18.7 cm x 23.0 cm
Pages: 1,832
Territory: World
Published 2010

Additional information

Author

Booktalk Africa

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Ufafanuzi wa Biblia katika Mazingira na Utamaduni wa Kiafrika”

Your email address will not be published. Required fields are marked *